Friday, April 15, 2016

Waziri wa uchukuzi ajiuzulu Ubelgiji

Waziri wa uchukuzi ajiuzulu Ubelgiji

  • Saa moja iliyopita
 
Image copyright Horst Pilger
Image caption Uwanja wa ndege ulioshambuliwa Brussels
Waziri wa uchukuzi nchini ubelgiji Jacqueline Galant amejiuzulu, baada ya ripoti ya kisiri ya muungano wa Ulaya, kufichua dosari za usalama kwenye viwanja vya ndege kufuatia mashambulizi ya mwezi uliopita ya kujitoa mhanga mjini Brussels.
Ripoti hiyo ya muugano wa ulaya ya tangu mwaka uliopita ilitolewa kwa umma na vyama viwili vya upinzani nchini Ubelgiji.
Ilisema kuwa huduma za usalama katika viwanja vye ndege nchini ubelgiji zina dosari na kutilia shaka jinsi ukaguzi unavyofanywa.

No comments:

Post a Comment