Tuesday, July 12, 2016

PIGO TENA--HOTELI KUBWA ZAANZA KUPUNGUZA WAFANYAKAZI WAKE,BAJETI YA JPM YATAJWA,TRA WASEMA HAKUNA JINSI,SOMA HAPO KUJUA

PIGO TENA--HOTELI KUBWA ZAANZA KUPUNGUZA WAFANYAKAZI WAKE,BAJETI YA JPM YATAJWA,TRA WASEMA HAKUNA JINSI,SOMA HAPO KUJUA



Pichani ni Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania,John Magufuli.


MACHANGU ya Bajeti ya  mwaka 2016/2017  yameaza kujionesha kwa kasi baada Hoteli kubwa  nchini ambazo zilikuwa zinatumika kuwapokea watalii kuanza kupunguza wafanyakazi katika hoteli hizo kwa kile wanachodai ukata wa fedha umezikumba Hoteli.(Mtandao huu umelezwa).Anaandika KAROLI VINSENT endelea nayo.

Taarifa za kuamika ambazo Fullhabari.blog imezipata kutoka kwenye Hoteli moja maarufu jijini Dar es Salaam ambayo nayo imewaandikia baadhi ya wafanyakazi wake ikiwataka warudi nyumbani kwa kile wanachodai Hoteli hiyo inajiendesha kihasara.
 
Taarifa hiyo inasema kinachotwajwa kupelekea mpaka hoteli hiyo kuwa katika hali hiyo inatokana na hutua ya serikali kukataza mikutano yote ya serikali kufanyika kwenye Hoteli hizo huku ikitoa maelekezo kuwa mikutano yote ifanyike kwenye kumbi za serikali jambo ambalo linolotajwa kuliangamiza hoteli hizo  kwa kuwa  mikutano hiyo ni chanzo cha mapato.

No comments:

Post a Comment