Saturday, June 11, 2016

Walipuaji wa kujitoa muhanga wauwa 12 Damascus


  • Saa 7 zilizopita
Image copyrightAFP GETTY
Image captionDamascus
Watu 12 wameuawa katika milipuko miwili ya mabomu viungani mwa mji wa Damascus, katika eneo la madhabahu muhimu ya Waislamu wa madhehebu ya Shia.
Image copyrightREUTERS
Image captionShambulio la Damascus
Shirika la habari la kitaifa linasema mlipuko mmoja umetekelezwa na mshambuliaji wa kujitolea muhanga.
Image copyrightREUTERS
Image captionDamascus
Mlipuko wa pili umetokana na bomu lililotegwa ndani ya gari.
Image copyrightAFP
Image captionDamascus
Watu wawili wameuawa karibu na madhabahu ya Sayyeda Zeinab yanayoheshimiwa na Washia kote ulimwenguni.
Image copyrightAP
Image captionDamascus
Eneo hilo limekuwa likilengwa kwa mabomu na wapiganaji wa Islamic State.

No comments:

Post a Comment