Tuesday, July 14, 2015
Leo nimekuletea hii utazame barabara 10 hatari kwenye hii dunia! kosa moja tu la dereva….
Leo nimekuletea hii utazame barabara 10 hatari kwenye hii dunia! kosa moja tu la dereva….
Kuna sehemu za hatari sana duniani ambazo unaambiwa ukifanya kosa moja
tu unajiweka kwenye uwezekano mkubwa wa kupoteza maisha, hatari hii
inapatikana kwenye barabara ambazo zipo kwenye sehemu mbalimbali
duniani.
Kwa
Tanzania kuna sehemu kama mlima Kitonga na Sekenke hizo ni baadhi tu ya
sehemu tunazozijua ni hatari, huko kwenye nchi za wenzetu kuna barabara
China Sichuan-Tibet ambayo
inaua watu kila wakati mpaka takwimu zinaonyesha kwamba kati ya watu
laki moja, watu elfu saba mia tano hupoteza maisha kwenye barabara hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment