Wednesday, February 17, 2016

Cameroon yaishinda Misri voliboli

Cameroon yaishinda Misri voliboli

  • roryamaendeleo
Image copyrightGuy Suffo CAVB
Katika Mechi ya Fainali ya mashindano ya voliboli ya wanawake afrika yaliyomalizika mjini Yaounde hapo jana, Cameroon imeishinda Misri kwa seti 3-2.
Kwa ushindi huo Cameroon italiwakilisha bara Afrika katika michezo ya Olimpiki mwezi Agosti mjini Rio Brazil.
Katika mechi ya kuwania mshindi wa tatu Kenya imewashinda Algeria seti 3-0 na kuzoa nishani ya shaba.
Nafasi ya tano imetwaliwa na Botswana, ikifuatiwa na Botswana na Uganda ikawa ya mwisho.

No comments:

Post a Comment