Monday, February 15, 2016

Simba yasubiri mgao wa Mbwana Samatta

Simba yasubiri mgao wa Mbwana Samatta


Image copyrightSamatta Twitter
Klabu ya Soka ya Simba nchini Tanzania iko katika mazungumzo yanayoendelea vema ili iweze kupata mgao wake baada ya aliyekuwa mchezaji wake Mbwana Ally Samatta kuuzwa huko Ubeligiji.
Simba ambayo ilimuuza Samatta klabu ya TP Mazembe mwaka 2012, inapaswa kupata asilimia 20 ya fedha ambazo TP Mazembe imelipwa baada ya kumuuza Samatta kwenye klabu hiyo ya Ubelgiji.
TP Mazembe ilimuuza Mtanzania huyo kwa Samatta KRC dola za Kimarekani 800,000

No comments:

Post a Comment