Sunday, February 21, 2016

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AMEKUTANA NA BAADHI YA MAKUNDI YALIYOSHIRIKI KAMPENI YA UCHAGUZI MKUU 2015, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM FEBRUARI 18,2016

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AMEKUTANA NA BAADHI YA MAKUNDI YALIYOSHIRIKI KAMPENI YA UCHAGUZI MKUU 2015, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM FEBRUARI 18,2016


0a57495a-70d5-4ee1-83e3-b8ab392c5c7c Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Joseph Magufuli na Mama Janeth Magufuli wakiongozana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)  Mhe January Makamba  pamoja na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe Nape Nnauye wakielekea ukumbini kuongea  na baadhi ya makundi yaliyoshiriki naye kwenye kampeni ya uchaguzi mkuu mwaka 2015 aliowaita kuwashukuru Ikulu jijini Dar es salaam  February 18, 2016
41e3a7b9-c056-421f-8187-60449e614d85


10407be2-d22b-459c-908e-3c732a50b1e5Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akisalimia katika mkutano wa Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na baadhi ya makundi yaliyoshiriki naye kwenye kampeni ya uchaguzi mkuu mwaka 2015 aliowaita kuwashukuru Ikulu jijini Dar es salaam February 18, 2016.
91124547-0f75-4ee4-9a66-e803cb76ae6d

7407014d-4cd0-4b4a-91b1-5eadd95a2c42


4ea65a23-f2fc-4082-ba61-c6405446d5aaMakamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan  akisalimia katika mkutano wa Rais John Pombe Joseph Magufuli na baadhi ya makundi yaliyoshiriki naye kwenye kampeni ya uchaguzi mkuu mwaka 2015 aliowaita kuwashukuru Ikulu jijini Dar es salaam  February 18, 2016.
2ef49472-62fc-4898-8d20-53931604b537

6b0c7e43-7f9b-440f-a650-96c492380ed1
    8f703095-87aa-416a-838c-33d41cb99ce1

75e487e0-6d7c-4167-89df-2ad2439c483a Rais John Pombe Joseph Magufuli akiongea na baadhi ya makundi yaliyoshiriki naye kwenye kampeni ya uchaguzi mkuu mwaka 2015 aliowaita kuwashukuru Ikulu jijini Dar es salaam February 18, 2016.
2de0c3c1-c0bc-4553-8cbb-a96732785bcf

4ad890c8-d777-48bf-b7db-4e8fa1c4036d


58ed7287-9ff3-49d2-8639-84114068ed21-1

58028edd-e60f-4bf8-aca3-5e591e19d3c0baadhi ya makundi yaliyoshiriki na Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kwenye kampeni ya uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015
9d727a6e-4b58-4792-9a21-fc16ea41b061Rais John Pombe Joseph Magufuli katika picha ya pamoja na kundi la sanaa la Tanzania One Theatre baada ya kuongea na baadhi ya makundi yaliyoshiriki naye kwenye kampeni ya uchaguzi mkuu mwaka 2015 aliowaita kuwashukuru Ikulu jijini Dar es salaam  February 18, 2016
3e0f5248-5b9f-4b96-ba3f-64846fdec2fcRais John Pombe Joseph Magufuli katika picha ya pamoja na wasanii wa Bongo Movie   baada ya  kuongea  na baadhi ya makundi yaliyoshiriki naye kwenye kampeni ya uchaguzi mkuu mwaka 2015 aliowaita kuwashukuru Ikulu jijini Dar es salaam February 18, 2016
605cfe60-c34d-4f0b-92cf-3f652201e925 Rais John Pombe Joseph Magufuli katika picha ya pamoja na wasanii wa Bongo Fleva  baada ya  kuongea  na baadhi ya makundi yaliyoshiriki naye kwenye kampeni ya uchaguzi mkuu mwaka 2015 aliowaita kuwashukuru Ikulu jijini Dar es salaam February 18, 2016
02084aae-aa52-4a3e-ac9e-893a298685f6 Rais John Pombe Joseph Magufuli katika picha ya pamoja na watendaji kutoka CCM Makao Makuu  baada ya  kuongea  na baadhi ya makundi yaliyoshiriki naye kwenye kampeni ya uchaguzi mkuu mwaka 2015 aliowaita kuwashukuru Ikulu jijini Dar es salaam February 18, 2016
12997ebc-fc64-4f0a-ae88-b2455295513eRais John Pombe Joseph Magufuli katika picha ya pamoja na wataalamu wa TEHAMA baada ya  kuongea  na baadhi ya makundi yaliyoshiriki naye kwenye kampeni ya uchaguzi mkuu mwaka 2015 aliowaita kuwashukuru Ikulu jijini Dar es salaam February 18, 2016
73456e31-a97b-4f0e-93f2-9082f50385de


1111Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli, Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa, Mawziri Nnape Nnauye na January Makamba  katika picha ya pamoja na madereva  baada ya kuongea na baadhi ya makundi yaliyoshiriki naye kwenye kampeni ya uchaguzi mkuu mwaka 2015 aliowaita kuwashukuru Ikulu jijini Dar es salaam February 18, 2016 
6a7c8493-f96f-4a5c-8e38-d042729fed00

41a0b20e-0325-4bfb-b51a-41f274fe9780


No comments:

Post a Comment