Saturday, July 11, 2015

BREAKING NEWZZZ....TOKA KAMBI YA LOWASA JUU YA ACT.

Habari Toka katika kambi ya Lowasa
wakishirikiana  kwa pamoja wanamshawishi
ndugu Edward Lowasa kuhamia ACT na
kundi lake na kugombea urais kupitia
chama hicho.
wanaamini kuwa anawafuasi wengi na akikosa
mwaka huu hatopata nafasi nyingine tena
maiashani mwake kwa ushawishi alionao ndani ya
jamii

No comments:

Post a Comment