Friday, July 10, 2015

Tano bora wa ccm hawa hapa.

a ndio matokeo yaliyowekwa kwenye mitandao kuhusu Wagombea watano Uraiswa CCM DodomaByNewsroom TZAonJuly 11, 2015481sharesShareTweetShareSharecommentsJuly 10 2015 inaripotiwa taarifa nyingine kutoka Dodoma Tanzania… Watu wengi wamekaa tayari kujua nini ambacho kitaamriwa Dodoma kuhusu Mgombea Urais ambae anateuliwa na CCM kugombea Urais wa Tanzania 2015.Majina yalikuwa mengi zaidi ya 38, hii ndio list ambayo imetangazwa kuingia Top Five kupitia ukurasa wa Twitter wa CCM @ccm_tanzaniaKikao cha KAMATI KUU (CC) kimekamilika na kufanikiwa kuwateua wagombea wake 5 ambao ni…pic.twitter.com/tfx47nUWR1— Chama Cha Mapinduzi (@ccm_tanzania)July 10, 2015Saa chache zilizopita Katibu Mwenezi wa CCM,Nape Nnauyealiongea na waandishi wa habari kwamba majina matano yamewasilishwa Kamati Kuu na majibu itakuwa ni kesho, Team yamillardayo.comiko Dodoma tayari kama kuna taarifa yoyote tofauti utaipata hapahapa mtu wangu.Unahitaji chochote nachokipata kikufikie? jiunge na mimi kwenye Twitter, Facebook na Instagram kwa kubonyeza hapa >>> Twitter Insta FB na nitakua nikikutumia kila ninachokipata pia usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos ili kila video ya AyoTV ikufikie.

No comments:

Post a Comment