Saturday, July 11, 2015

Dr Slaa kuteuliwa na Ukawa.


HABARI KUU LEO
POPULAR ON YOUTUBE
Dr Slaa athibitisha kuteuliwa na
UKAWA
Habari Zinazoendana
Baada ya jina la katibu Mkuu wa Chadema Dk Wibroad Slaa
likiwa limeteuliwa na UKAWA kuwa mgombea wake wa
nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba.
Dakika chache zilizopita kwenye ukurasa wa @twitter wa Dr
Slaa kathibitisha kuteuliwa na UKAWA.

No comments:

Post a Comment