Saturday, July 11, 2015

NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MBOGWE MWISHO WA KUPOKEA MAOMBI TAR 30 JULAI 2015

HALMASHAURI YA WILAYA YA MBOGWE
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya
Mbogwe anatangaza nafasi ishirini na tatu(23) za
kazi . maombi ya kujaza nafasi yoyote kati ya hizo
yanakaribishwa kutoka kwa mtanzania yeyote
mwenye sifa hizo zilizotajwa katika tangazo hili
Nafasi zilizotangazwa ni kama ifuatavyo
1. MTUNZA KUMBUKUMBU MSAIDIZI DARAJA LA
II: (NAFASI 3)
Majukumu.
i.    Kutafuta kumbukumbujmajalada yanayohitajiwa
na wasomaji wanaohusika.
ii. Kuweka majalada katika makundi.
iii. Kuweka kumbukumbu (barua, nyaraka, n.k)
katika majalada. .
iv. Kudhibiti upokeaji, uandikishaji wa
kumbukumbu/ nyaraka.
Mwombaji awe na sifa zifuatazo:-
i.    Awe amehitimu Elirnu ya Kidato Nne (IV) au Sita
(VI)
ii. Awe amehitimu rnafunzo ya Utunzaji, wa
Kumbukumbu angalau katika ngazi ya Cheti
katika mojawapo ya fani ya Masjala.
Ngazi ya Mshahara: TGS B
Vigezo na Masharti ya Jumla kwa Waombaji:
i.    Mwombaji awe raia wa Tanzania
ii. Awe na umri usiozidi miaka 45 na usiopungua
miaka 18.
iii. Maombi yote yaambatanishwe na nakala ya cheti
cha Taaluma, nakala ya cheti cha Kidato cha nsie]
sita, Maelezo binafsi yanayojitosheleza (CV) ikiwa na
anuani, namba za simu za kuaminika pamoja na
majina ya wadhamini (Referees) watatu (3) wa
kuaminika na picha mbili (passport size) za hivi
karibuni (ziandikwe jina kwa nyuma)
iv. Vyeti vyote vya Taaluma na Kidato cha Nne/ Sita
ni lazima vithibitishwe na Hakimu au wakili
anayetambulika na Serikali. Aidha atakayewasilisha
taarifa na sifa za kugushi atachukuliwa hatua za
Kisheria na mamlaka zinazohusika.
v. Mwombaji yeyote ambaye hatazingatia
mojawapo ya masharti au vigezo tajwa hapo juu,
maombi yake hayatashughu1ikiwa.
vi. Watumishi ambao wa1ikwisha kuajiriwa hapo
awali Serikalini na kupangiwa vituo vya kazi maeneo
mengine wasiombe nafasi hizi za kazi kwa kuwa
hawataweza kuingia kwenye Payroll ya Serikali.
vii.    Waombaji wote waambatanishe nakala ya cheti
cha kuzaliwa.
viii. Maombi yote yaandikwe kwa lugha ya
Kiswahili.
Barua zote zitumwe kwa njia ya Posta, maombi
yatakayowasilishwakwa mkono au barua pepe
hayatafanyiwa kazi:
Barua zote zitumwe kwa njia ya Posta kupitia anuani
ifuatayo:-
Mkurugenzi Mtendaji (W)
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
S.L.P. 01
MASUMBWE
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 31/07/2015,
Saa 9:30 Alasir.
Abdallah l. Mfaume
Mkurugeozi Mtendaji (W)
MBOGWE
SOURCE; MWANANCHI 09TH JULY 2015
============
HALMASHAURI YA WILAYA YA MBOGWE
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya
Mbogwe anatangaza nafasi ishirini na tatu(23) za
kazi . maombi ya kujaza nafasi yoyote kati ya hizo
yanakaribishwa kutoka kwa mtanzania yeyote
mwenye sifa hizo zilizotajwa katika tangazo hili
Nafasi zilizotangazwa ni kama ifuatavyo
2. Mtendaji Wa Kijiji Daraja La III: (NAFASI 8)
Majukumu:
i.    Mtendaji Mkuu wa Serikali ya kijiji
ii. Kusimamia U1inzi na Usalama wa raia na mali
zao, kuwa M1inzi wa Amani na Msimamizi wa
Utawala Bora katika kijiji.
iii. Kuratibu na kusimamia upangaji wa
uteke1ezajiwa Mipango ya maende1eo ya kijiji
iv. Kutafsiri na kusimamia Sera, Sheria na Taratibu;
v. Kutafsiri na kusimamia Sera, Sheria na Taratibu;
vi. Kusimamia, kukusanya na kuhifadhi
kumbukumbu zote za Nyaraka za kijiji.
Mwombaji awe na Sifa zifuatazo:-
i.    Awe amehitimu Kidato cha Nne (IV) au Sita (VI)
ii. Aliyehitimu mafunzo ya Astashahada/Cheti
katika moja ya fani zifuatazo:• Utawala,
Sheria, Elirnu ya Jamii, Usimamizi wa Fedha,
Maendeleo ya Jamii na Sayansi ya Sanaa
kutoka Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo, Dodoma
au Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.
Ngazi ya Mshahara: TGS B
Vigezo na Masharti ya Jumla kwa Waombaji:
ix. Mwombaji awe raia wa Tanzania
x. Awe na umri usiozidi miaka 45 na usiopungua
miaka 18.
xi. Maombi yote yaambatanishwe na nakala ya cheti
cha Taaluma, nakala ya cheti cha Kidato cha nsie]
sita, Maelezo binafsi yanayojitosheleza (CV) ikiwa na
anuani, namba za simu za kuaminika pamoja na
majina ya wadhamini (Referees) watatu (3) wa
kuaminika na picha mbili (passport size) za hivi
karibuni (ziandikwe jina kwa nyuma)
xii.    Vyeti vyote vya Taaluma na Kidato cha Nne/
Sita ni lazima vithibitishwe na Hakimu au wakili
anayetambulika na Serikali. Aidha atakayewasilisha
taarifa na sifa za kugushi atachukuliwa hatua za
Kisheria na mamlaka zinazohusika.
xiii. Mwombaji yeyote ambaye hatazingatia
mojawapo ya masharti au vigezo tajwa hapo juu,
maombi yake hayatashughu1ikiwa.
xiv. Watumishi ambao wa1ikwisha kuajiriwa hapo
awali Serikalini na kupangiwa vituo vya kazi maeneo
mengine wasiombe nafasi hizi za kazi kwa kuwa
hawataweza kuingia kwenye Payroll ya Serikali.
xv.    Waombaji wote waambatanishe nakala ya cheti
cha kuzaliwa.
xvi. Maombi yote yaandikwe kwa lugha ya
Kiswahili.
Barua zote zitumwe kwa njia ya Posta, maombi
yatakayowasilishwakwa mkono au barua pepe
hayatafanyiwa kazi:
Barua zote zitumwe kwa njia ya Posta kupitia anuani
ifuatayo:-
Mkurugenzi Mtendaji (W)
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
S.L.P. 01
MASUMBWE
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 31/07/2015,
Saa 9:30 Alasir.
Abdallah l. Mfaume
Mkurugeozi Mtendaji (W)
MBOGWE
SOURCE; MWANANCHI 09TH JULY 2015
============
HALMASHAURI YA WILAYA YA MBOGWE
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya
Mbogwe anatangaza nafasi ishirini na tatu(23) za
kazi . maombi ya kujaza nafasi yoyote kati ya hizo
yanakaribishwa kutoka kwa mtanzania yeyote
mwenye sifa hizo zilizotajwa katika tangazo hili
Nafasi zilizotangazwa ni kama ifuatavyo
3. KATIBU MAHSUSI DARAJA LA III : (NAFASI 3)
Majukumu:
i.    Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za akwaida.
ii. Kusaidia kupokea wageni na kuwasai1i shida
zao, na kuwaelekeza sehemu wanapoweza
kushughu1ikiwa.
iii. Kusaidia kutunza taarifa/kumbukumbu za
matukio, miadi, wageni, tarehe za vikao, safari na
Mkuu wake na ratiba zingine za kazi zingine
zilizopangwa kutekelezwa katika ofisi anamofanyia
kazi, na kumarifu Mkuu wake kwa wakati
unaohitajika.
iv. Kusaidia kufikisha maelekezo ya Mkuu wake wa
kazi kwa wasaidizi na kumuarifu kuhusus taarifa
zozote anazokuwa amepewa na wasaidizi hao
v. Kutekeleza kazizozote atakazopangiwa na
Msimamizi wake wa kazi.
Mwombaji awe na sifa zifuatazo:-
i.    Awe amehitimu Kidato cha Nne (IV) au Sita(VI)
ii. Awe amahitimu mafunzo ya Uhazili kutoka Chuo
cha Utumishi wa Umma au Chuo chochote
kinachojarnbuliwa na Serikali.
iii. Awe amefaulu somo la Hati Mkato na mwenye
uwezo wa kuchapa maneno themanini kwa dakika
moja na
iv. Awe amesoma masomo ya computer,
Ngazi ya Mshahara: TGS B
Vigezo na Masharti ya Jumla kwa Waombaji:
xvii. Mwombaji awe raia wa Tanzania
xviii. Awe na umri usiozidi miaka 45 na usiopungua
miaka 18.
xix. Maombi yote yaambatanishwe na nakala ya
cheti cha Taaluma, nakala ya cheti cha Kidato cha
nsie] sita, Maelezo binafsi yanayojitosheleza (CV)
ikiwa na anuani, namba za simu za kuaminika
pamoja na majina ya wadhamini (Referees) watatu
(3) wa kuaminika na picha mbili (passport size) za
hivi karibuni (ziandikwe jina kwa nyuma)
xx.    Vyeti vyote vya Taaluma na Kidato cha Nne/
Sita ni lazima vithibitishwe na Hakimu au wakili
anayetambulika na Serikali. Aidha atakayewasilisha
taarifa na sifa za kugushi atachukuliwa hatua za
Kisheria na mamlaka zinazohusika.
xxi. Mwombaji yeyote ambaye hatazingatia
mojawapo ya masharti au vigezo tajwa hapo juu,
maombi yake hayatashughu1ikiwa.
xxii. Watumishi ambao wa1ikwisha kuajiriwa hapo
awali Serikalini na kupangiwa vituo vya kazi maeneo
mengine wasiombe nafasi hizi za kazi kwa kuwa
hawataweza kuingia kwenye Payroll ya Serikali.
xxiii. Waombaji wote waambatanishe nakala ya
cheti cha kuzaliwa.
xxiv. Maombi yote yaandikwe kwa lugha ya
Kiswahili.
Barua zote zitumwe kwa njia ya Posta, maombi
yatakayowasilishwakwa mkono au barua pepe
hayatafanyiwa kazi:
Barua zote zitumwe kwa njia ya Posta kupitia anuani
ifuatayo:-
Mkurugenzi Mtendaji (W)
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
S.L.P. 01
MASUMBWE
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 31/07/2015,
Saa 9:30 Alasir.
Abdallah l. Mfaume
Mkurugeozi Mtendaji (W)
MBOGWE
SOURCE; MWANANCHI 09TH JULY 2015
============
HALMASHAURI YA WILAYA YA MBOGWE
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya
Mbogwe anatangaza nafasi ishirini na tatu(23) za
kazi . maombi ya kujaza nafasi yoyote kati ya hizo
yanakaribishwa kutoka kwa mtanzania yeyote
mwenye sifa hizo zilizotajwa katika tangazo hili
Nafasi zilizotangazwa ni kama ifuatavyo
4. DEREVA DARAJA LA II NAFASI: 06
MAJUKUMU
i.    Kuendesha magari madogo na malori
ii. Kuhakikisha gari na vyombo vyake vipo katika hali
nzuri wakati wote na kufanya uchunguzi wa gari
kabla na baada ya safari
iii. Kufanya matengenezo madogomadogo ya gari
iv. Kutunza na kuandika daftari la safari kwa safari
zote
Mwombaji awe na sifa zifuatazo:
i.    Awe amehitimu kidato cha Nne (IV)
ii. Awe amehitimu mafunzo ya udereva
iii. Awe na leseni daraja la “C” ya uendeshaji
Ngazi ya Mshahara: TGOS B
Vigezo na Masharti ya Jumla kwa Waombaji:
xxv. Mwombaji awe raia wa Tanzania
xxvi. Awe na umri usiozidi miaka 45 na usiopungua
miaka 18.
xxvii.    Maombi yote yaambatanishwe na nakala ya
cheti cha Taaluma, nakala ya cheti cha Kidato cha
nsie] sita, Maelezo binafsi yanayojitosheleza (CV)
ikiwa na anuani, namba za simu za kuaminika
pamoja na majina ya wadhamini (Referees) watatu
(3) wa kuaminika na picha mbili (passport size) za
hivi karibuni (ziandikwe jina kwa nyuma)
xxviii. Vyeti vyote vya Taaluma na Kidato cha Nne/
Sita ni lazima vithibitishwe na Hakimu au wakili
anayetambulika na Serikali. Aidha atakayewasilisha
taarifa na sifa za kugushi atachukuliwa hatua za
Kisheria na mamlaka zinazohusika.
xxix. Mwombaji yeyote ambaye hatazingatia
mojawapo ya masharti au vigezo tajwa hapo juu,
maombi yake hayatashughu1ikiwa.
xxx. Watumishi ambao wa1ikwisha kuajiriwa hapo
awali Serikalini na kupangiwa vituo vya kazi maeneo
mengine wasiombe nafasi hizi za kazi kwa kuwa
hawataweza kuingia kwenye Payroll ya Serikali.
xxxi. Waombaji wote waambatanishe nakala ya
cheti cha kuzaliwa.
xxxii.    Maombi yote yaandikwe kwa lugha ya
Kiswahili.
Barua zote zitumwe kwa njia ya Posta, maombi
yatakayowasilishwakwa mkono au barua pepe
hayatafanyiwa kazi:
Barua zote zitumwe kwa njia ya Posta kupitia anuani
ifuatayo:-
Mkurugenzi Mtendaji (W)
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
S.L.P. 01
MASUMBWE
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 31/07/2015,
Saa 9:30 Alasir.
Abdallah l. Mfaume
Mkurugeozi Mtendaji (W)
MBOGWE
SOURCE; MWANANCHI 09TH JULY 2015

No comments:

Post a Comment