Friday, July 10, 2015

Kituo cha polisi Bunju chachomwa Moto.

NEWZZ ALERT:KITUO CHA POLISI
BUNJU CHACHOMWA MOTO.
Image
Habari Zinazoendana
Baadhi ya Polisi wakiwatawanya watu (hawapo pichani) kwa
mabomu ya machozi mara baada ya tukio la kuchomwa
moto kituo cha polisi Bunju, tukio hilo limetokea.Kituo cha
polisi Bunju kilichopo nje kidogo ya jiji la Dar kimechomwa
moto na baadhi ya Wananchi kufuatia tukio la kudaiwa kwa
Mwanafunzi mmoja kugongwa na gari na kufa papo ha

No comments:

Post a Comment